Monday, September 28, 2015

Picha: Sauti Soul wakutana na Jay Z na Bill gates, waperfom jukwaa moja na Beyonce,Cold Play,Common na wengine wengi


Kundi la wasanii wa muziki la Kenya ‘Sauti Soul’ wamekutana na mmiliki wa Microsoft Bill gates na mmiliki wa ‘Roc Nation’ Jay Z jumamosi ya wiki iliyopita New York, Marekani.
sautt
sauttt
kwa mujibu wa picha walioweka kwenye mtandao wa Instagram wamesema walipata nafasi ya kuzungumza machache na Jay z hasa kuhusu muziki na biashara japo hawajaweka wazi kwa undani kuhusiana na hilo. Pia waliweka wazi mpango wa Billgates kutembelea Kenya.

sautttt                                    Muimbaji wa Sauti soul akiwa na Usher Raymond
saut                 Muimbaji wa Sauti soul akiwa na muigizaji kerrt Washington
soul
Sauti Soul walipata nafasi kuperfom jukwaa moja na mastaa wakubwa wa muziki ikiwemo Beyonce, Common, Ed sheran, coldplay,  na wengine wengi kwenye Tamasha la ‘Global Citizens’,
Credit;Teamtz.com

No comments: