eef la 50 cent na Boss wa MMG,Rickross limeamia kwa wasanii wote ambao wapo chini ya label ya Rozay ‘Maybach Music Group’ baada ya 50 cent kuisifia disstrack ya ‘Bak to Back’ ya Drake.
50 cent amempondea MeekMill kwa kuanzisha beef na kushindwa kulimaliza
“That ‘Back To Back’ s**t is fire. That s**t is fire. That n***a said, ‘You gettin’ bodied by a singin’ n***a. Shout to all my boss b***ches wifin’ n***as.’ Did you hear that s**t? That s**t was hot. And the n***a that poked at him, the n***a started the s**t.” Alisema 50
kwenye moja ya show iliyofanyika Sweden
Hivi karibuni, 50 cent ameshika vichwa vya habari vingi baada ya kurushiana maneno na RickRoss na mpenzi wake wa zamani Vivica A. Fox
No comments:
Post a Comment