
ya 255 kupitia XXL ya Cloudsfm na Perfect Crispin @perfectcrispin, Dully alisema kuwa ngoma hiyo ipo tayari na Yamoto wameshiriki katika Kuiandika ngoma hiyo aliyoipa Jina la TUACHIE
"Yah nyimbo iko tayari.. Video pia ipo tayari na imefanywa na Director HASCANA. Na nimeifanya ki Afrika zaidi, naamini itafika mbali sana, pia Hanscana amejitahidi Sana. Nyimbo imeandikwa na wadogo zangu YAMOTO, niliwaomba waiandike sababu kiukweli vijana wako vizuri." alisema Dully.
No comments:
Post a Comment