Tuesday, November 3, 2015

Kesi ya Madai ya kutishia kumpiga mtu risasi iliyokuwa ikimkabili Rickross yatupiliwa mbali

Boss wa MMG,  RickRoss ameshinda kesi iliyokuwa inamkabili ya kutishia kumpiga risasi na kumkufungia ndani aliyekuwa mfanyakazi wake,  Jonathan Zamudio.
 
RickRoss ambaye alikua anataumikia kifungo cha nje, ameshinda kesi hiyo baada ya mahakama kufuta adhabu ya kutosafiri nje ya mji aliokuwa anaishi, Jaji aliyekua anasimamia kesi hiyo amesema  adhabu hiyo imefutwa kwasababu aliyefungua kesi hiyo, Jonathan Zamudio haishi maeneo ya karabu na Rapper huyo.

Mbali ya kesi hiyo kufutwa Rozay haruhusiwi kwenda karibu na maeneo anayoishi  kijana aliyemfungulia kesi na hatakiwi kuondoka mjini Georgia bila kuoa taarifa.

No comments: