Tuesday, November 10, 2015

Mpenzi wa zamani wa 50 cent, Vivica A. Fox adai rapper huyo ni Shoga, 50 cent amjibu

Mpenzi wa zamani wa 50 cent, Vivica A. Fox  ameibuka na kudai mpenzi wake huyo wa zamani ni mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja.
Akihojiwa kwenye kipindi cha  Watch What Happens Live kuhusiana na 50 cent kuipondea tamthili ya Empire kwa kupoteza idadi kubwa ya watazamaji kwasababu ya kupromote mapenzi ya jinsia moja,
 
mwanadada huyo alijibu “You know, the pot calling the kettle black is all I’m sayin’.” huo ni msemo wenye maana ya kuwa mtu anakufananisha au anakuita kitu fulani ( huwa tusi)  ambacho na wenyewe wapo hivyo, kwahiyo mwanadada huyo alimaanisha kuwapondea Empire kwasababu ya ushoga wakati hata yeye ni shoga.

Hata hivyo kama kawaida yake, 50 cent huwa hachelewi kujibu, kupitia Instagram 50 cent aliweka picha ya mwanadada huyo na kuandika “Oh No!!!, 😳 Now she thinks I’m gay because I let her lick my Ass. 😔 LMAO. Wait,I didn’t want her to,she forced me, my hands were tied. 50 shades of grey 😆
50 cent vivica fox
Mbali ya kumuita rapper huyo shoga, Vivica alitumia Cover la jarida la XXL kama kithibisho, kwenye Cover hilo, 50 cent alipozi na Soulja boy
Soulja Boy na yeye, ameamua kumjibu, ameandika “Everybody hit up this cougar.. she’s single & ready to mingle.. 1-8000-GrannyDesperatedForAttention exetension I’mWashed up”
Screen Shot 2015-11-08 at 11.43.10 PM

No comments: