Monday, November 9, 2015

VIDEO: DAKIKA 24 ZA DJ TASS AKIFAFANUA SAFARI YA U-DJ WAKE!

napozungumzia wadau wa muziki huwezi ukawaweka mbali DJs coz ni  watu wenye ukaribu mkubwa  kwenye Tasnia ya hiyio. Hapa leo camera yetu imeangazia kwa DJ wa kitanzania ambaye ni miongoni kati ya Ma- DJ wanao fanya vizuri,kufuatia jitihada zake za kikazi, yaani hapa tunamzungumzia DJ Tass wa kituo cha radio cha Magic Fm pamoja na kipindi cha Wakilisha
cha Maisha Magic-DSTV, kama unakumbuka mwaka jana 2014 alichaguliwa kwenda kuwapagawisha washiriki wa Shindano la Big Brother Africa (BBA) ambapo Idris ndipo alipoibuka na ushindi.

Akipiga stori na mwandishi wetu DJ Tass amefunguka mambo mengi kuhusiana na safari ya u-DJ katika Maisha yake,ushauri,faida, Changamoto, pia mambo yanayo wakabili DJs kwenye ndoa zao na Malengo yake hapao baadaye.

No comments: