Diamond ameandika maneno hayo kupitia mtandao wa Twitter ambapo amewataka watu wahifadhi post hiyo, ameandika “Nyimbo na Videos nnazoenda kuachia mwaka huu, zitakuwa ni Historia na Kubaki kumbukumbu hadi siku ntapozikwa….
Diamond tayari anacollabo kubwa za kimataifa ikiwemo aliyomshirikisha Ne-yo, Psquare na Mafikizolo ambayo alisema itashutiwa mwezi huu.
No comments:
Post a Comment