
Ashukuliwe Mungu muumba Ardhi na Mbingu... Mimi na rafiki zangu Tumefanikisha kwa 100% tulichokiwekea dhamira kukifanya tar 12 jan 2016...asante Allah..eeh Mungu tuongoze tufanikishe na vingine

vingi..asanteni wote mlioshiriki nasi,kwa michango na kufika pia kwenye kituo cha kulea watoto hawa yatima(CHAKUWAMA) Sinza MorI...Mungu ameona na Mungu atawalipa!!
No comments:
Post a Comment