Monday, April 11, 2016

Msanii ROMA MKATOLIKI Afunga Ndoa

Msanii Maarufu wa Hip Hop Nchini Tanzania ROMA MKATOLIKI, Hivi Majuzi Aliamua Kufunga Ndoa na Mpenzi wake wa Longtime ambaye Pamoja Wana Mtoto Mmoja. Harusi hiyo ilihudhuriwa na watu 
 
mashuhuri ikiwemo wasanii wenzake Kama Vile KALA, DAYNA Miongoni Mwa Wengine Kibao. Ndoa imefungwa nyumbani kwao Tanga na ni baada ya send-off kufanyika Dar es salaam February 2016. Hizi Hapa ni Baadhi Ya Picha za Harusi.

No comments: